• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

Huduma za Afya


Dira: Dira ya Sekta ya afya ni kuinua afya na ustawi wa wananchi hasa wale walioko kwenye hatari zaidi ya kuathirika na magonjwa kwa kukuza na kuimarisha mfumo wa utoaji huduma za afya utakaokidhi mahitaji ya wananchi.

Dhamira/Taswira: Matarajio ni kutoa huduma muhimu za afya kwa gharama nafuu na zenye ubora na uwiano unaokubalika,zinazozingatia jinsia,endelevu na zinazolenga kuinua hali ya afya ya wananchi wa Wilaya ya Kaliua

Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua ina vituo vya Afya vipatavyo 3 na jumla ya Zahanati 33 kama inavyoonekana kwenye jedwali hapo chini. Kwa sasa halmashauri ya wilaya ya Kaliua inaendelea na ujenzi wa Hospitali ya Wilaya inayotarajiwa kuhudumia idadi ya watu wanaokadiriwa kufika 474,497 kwa makadirio ya mwaka 2016 Ongezeko la idadi ya watu ni 4% na kaya zilizopo ni 75,460 Kati ya hao watoto walio chini ya umri wa miaka 5 ni 94,899 na kina mama walio kati ya umri wa miaka 15 – 49 ni 85,409.



MMILIKI

HOSPITALI

VITUO VYA AFYA

ZAHANATI

Vituo Vya Serikali

O

3

33

Vituo Binafsi

O

0

1

Vituo Vya Taasis ya Dini

0

1

2

Jumla

0

4

36


Kwa sasa kiwango cha uchanjaji ni 95% na kiwango cha utapiamlo kwa watoto ni 4%. Kiwango cha vifo vya akina mama ni 153/100,00. Kiwango cha akina mama wanaotumia uzazi wa mpango ni 24%. Kiwango cha maambukizi ya malaria ni 56%.

Watumishi 

Idara ya afya hadi sasa ina jumla ya watumishi 146 wa kada mbalimbali (wauuguzi 55, wahudumu wa Afya 43, Maafisa wauguzi wasaidizi 16,Wauguzi 52, Matabibu 14, Makatibu wa Afya 2, watekinolojia maabara 9, maafisa afya mazingira 5, daktari msaidizi 1, afisa ustawi 1 na Daktari 3) ambayo ni sawa na asilimia 25 kati ya watumishi 580 wanaohitajika hivyo tuna upungufu wa watumishi 434 ambayo ni sawa na asilimia 75.

Huduma zinazotolewa kupitia vituo vya kutolea huduma 

Na.
Huduma tolewa
Idadi ya vituo
1
Huduma za wagonjwa wa nje
36
2
Huduma za wangonjwa wa ndani
4
3
Huduma za Afya ya Uzazi Mama na Mtoto
36
4
Huduma za CTC
9
5
Huduma za PMTCT
38
6
Huduma za Chanjo
37
7
Huduma za upasuaji
1
8
Huduma za damu salama
1

 

WADAU WA MAENDELEO NA KAZI WANAZOFANYA

Idara ina wadau mbalimbali wanaosapoti huduma mbalimbambali zitolewazo katika idara ya Afya wadau hao ni kama ifuatavyo katika jedwali:-

S/N

JINA LA MDAU WA MAENDELEO

JINA LA MRADI

KAZI WANAZOFANYA



1

Health Sector Basket Fund

Health Sector Basket Fund
Kuboresha Huduma za Afya

2

World Bank

Uimarishaji wa Afya ya Msingi kwa kuzingatia matokeo
Kuboresha miundo mbinu ya vituo na kutoa malipo kwa ufanisi wa utendaji kazi katika kutoa huduma za Afya

3

EGPAF

Afya boresha maisha
Kuzuia Maambukuzi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, TB, Huduma za Uzazi wa Mpango, Kutoa elimu ya Afya na kusapoti vifaa tiba

4

IMA WORLD HEALTH

Neglected Tropical Deseases Control Programme
Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele

5

JIPHIEGO-SAUTI

Tohara ya kitabibu ya hiari kwa wanaume
Kufanya Tohara kwa wanaume

6

Global Fund

kusapoti shughuli za Kifua Kikuu na UKIMWI
Kupunguza Maambukizi ya Kifua Kikuu na UKIMWI

7

EGENDER HEALTH

Afya ya uzazi mama na mtoto
Kusapoti huduma za uzazi wa mpango wilayani

8

UNHCR (TCRS)

Kuboresha duduma ya Afya ya Msingi
Kusapoti vituo vya Tarafa ya Ulyankulu makazi na ukarabati wa nyumba za watumishi na gari la wagonjwa

9

Mkapa Foundation

Kujengea uwezo viongozi sekta ya Afya
Kujengea uwezo watumishi

10

Marie stopes

Afya ya uzazi mama na mtoto
Kusapoti huduma za uzazi wa mpango wilayani

11

PIS

Kuthibiti/Kupunguza Maambukizi ya VVU katika Jamii
Kusapoti dhana za kujikinga na mambukizi ya VVU









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA WA MTAMBO DARAJA LA II {GREDA} NAFASI 01

    May 04, 2025
  • MNADA WA KWANZA WA ZAO LA KARANGA WILAYA YA KALIUA

    March 24, 2025
  • MADIWANI KALIUA WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA BAJETI YA BILION 50.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    January 30, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA KUPITIA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII IMETOA HUNDI YA TSH. 302,000,000/=

    December 23, 2024
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua