• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

MIRADI INAYOENDELEA

Start Date: 2016-07-01
End Date: 2017-07-30

ORODHA YA MIRADI INAYOENDELEA KUTEKELEZWA KUTOKA  MWAKA WA FEDHA  2016 /2017 HADI SASA

NA

JINA LA MRADI

FEDHA TUMIKA

CHANZO CHA FEDHA

MAELEZO

1.
Ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya

652,903,899

LGDG-CDG

Ujenzi uko hatua ya mwisho ya ukamilishaji .
2.
Mradi wa programu ya Lipa kwa Matokeo (P4R) Awamu ya II

310,745,320.00

MMES-P4R

Utekelezaji unaendelea katika hatua mbalimbali. Fedha zilihamishiwa katika akaunti za shule husika kwa ajili ya utekelezaji
3.
Ukamilishaji wa vyumba 6 vya madarasa sekondari ya Sasu Kata ya Ilege
    22,913,000.00
LGDG-CDG
Utekelezaji unaendelea kwa hatua za ukamilishaji.
4.
Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa sekondari ya Kapuya na Isike

27,079,500.00

LGDG-CDG
Utekelezaji umefanyika, kazi zipo katika hatua ya ukamilishaji
5.
Ukamilishaji wa nyumba ya Mwalimu katika Shule ya Sekondari Ugunga

11,000,000.00

LGDG-CDG
Kazi zilizobaki ni upigaji wa rangi kwenye vyoo.
6.
Kuchangia ukamilishaji wa vyumba  12 vya madarasa katika shule za msingi  Mtapenda,Ushokola,Igombe,Busondi,King'wangoko, Katala, Ntyemo, Mnange, Ugansa ,Kombe, Tuombemungu na utantamke

    

  63,000,000
 LGDG-CDG
Vyumba 2 na ofisi s/m ushokola vimeezekwa na kuwekwa jamvi,chumba 1 cha darasa s/m King'wangoko na Busondi vimekamilika,Vyumba 2 vya madarasa s/m katala vimeezekwa na kuwekwa jamvi,Vyumba 3 vya madarasa na ofisi s/m Ugansa vimepigwa ripu,kuwekwa jamvi na fremu za madirisha,Chumba 1 s/m Tuombemungu kimekamilik na ,Vyumba 3 vya madarasa s/m Mnange vimeezekwan 3 vya madarasa s/m Igombe vinapigwa ripu.
7.
Ujenzi wa tenki 1 la kuvunia maji lenye ujazo wa lita 50,000 sekondari ya Uyowa na mkindo

    

    9,879,000

LGDG-CDG
Ununuzi wa vifaa umefanyika na  kazi ya ujenzi imeanza.
8.
Ujenzi wa tenki 1 la kuvunia maji lenye ukubwa wa lita 100,000 Sekondari ya Kaliua
    13,965,500
LGDG-CDG
Ununuzi wa vifaa umefanyika. Ufyatuaji wa tofari 850 kwa ajili ya ujenzi wa tenki la lita 100,000 umefanyika na kazi ya uchimbaji wa shimo unaendelea.
9.
Kuendelea na ujenzi wa kituo cha afya Uyowa

6,000,000

LGDG-CDG
Ufyatuaji wa tofali unaendelea
10.
Ukamilishaji wa vyumba 3 vya madarasa sekondari ya kanoge
     
       5,007,545
LGDG-CDG
Upigaji wa ripu katika vyumba 3 vya madarasa umefanyika,uwekaji wa sakafu na top za milango pia umefanyika
11.
Ukamilishaji wa zahanati Kijiji cha Ichemba
       

5,347,240

LGDG-CDG
Ujenzi uko hatua ya boma
12.
Ukamilishaji wa jengo la utawala sekondari ya Kata na ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu s/m Kombe
         7,000,000
LGDG-CDG
Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu s/m Kombe unaendelea
13.
Ukamilishaji wa vyumba 6 vya madarasa sekondari ya sasu Kata ya ilege
          22,913,000
LGDG-CDG
Vifaa vya ujenzi vimenunuliwa.Vyumba 3 vya madarasa vimewekwa gysum,kupakwa rangi kwa ndani na kuwekwa sakafu. Ujenzi wa vyumba 2 vya maabara uko hatua ya kuweka lentel
14.
Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu sekondari ya Ukumbisiganga

7,800,000

LGDG-CDG
Ukamilishaji upo hatua za mwisho.
15.
Ukamilishaji wa vyumba 3 shule ya sekondari Seleli

5,000,000

LGDG-CDG

Maandalizi ya uezekaji na ukamilishaji wa vyumba 3 vya madarasa umefanyika
16.
Ukamilishaji wa ofisi ya Kijiji Nhwande

4,000,000

LGDG-CDG

Maandalizi ya ukamilishaji wa ofisi ya Kijiji yamefanyika
17.
Ukamilishaji wa vyumba 3 sekondari ya Zugimulole

7,000,000

LGDG-CDG

Vyumba 3 vya madarasa vimeezekwa na upigaji wa ripu unaendelea. Maandalizi ya ujenzi wa msingi kwa ajili ya vyumba 2 vya maabara unaendelea.
21.
Ukamilishaji wa chumba cha darasa s/m Ufukutwa

7,000,000

LGDG-CDG

Ujenzi wa chumba cha darasa uko hatua ya upakaji wa rangi
22.
Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu s/m Kaliua

6,000,000

LGDG-CDG

Ufyatuaji wa tafari kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa unaendelea baada ya fedha kuombewa mabadiliko ya matumizi
23.
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa s/m katutubila kata ya Ushokola
         6,000,000
LGDG-CDG
Ununuzi wa vifaa umefanyika na kazi inaendelea
24.
Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu s/m Ibambo
         6,000,000
LGDG-CDG
Ujenzi uko hatua ya uezekaji,uwekaji wa madirisha na milango
25.
Ukamilishaji wa vyumba 6 vya madarasa sekondari ya Silambo
         6,123,074
LGDG-CDG
Vifaa vimenunuliwa na kazi ya ujenzi inaendelea
26.
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Nsimbo
         6,499,128
LGDG-CDG
Maandalizi ya kuendelea na ujenzi yameanza kufanyika
27
Ukamilishaji wa vyumba 2  na vya madarasa na ofisi  s/m Upendo kata ya Usimba
         5,701,715
LGDG-CDG
Taratibu za ukamilishaji zinafanyika baada ya fundi kupatikana
28.
Ukamilishaji wa vyumba 3 vya madarasa  na vyoo matundu 8 sekondari ya Igwisi

         9,000,000

LGDG-CDG
Uwekaji wa dari umefanyika,uchongaji wa madirisha na milango unaendelea
29.
Ukamilishaji wa vyumba 3 vyamadarasa sekondari ya Kamsekwa

         6,006,406

LGDG-CDG
Maandalizi ya ukamilishaji wa vyumba vya madarasa yamefanyika
30.
Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi makingi

         5,858,233

LGDG-CDG
Ujenzi upo hatua ya upauaji
31.
Ujenzi wa matundu 8 ya choo s/m Shela kata ya Usenye

        6,745,382

LGDG-CDG
Vifaa vimenunuliwa na ujenzi umeanza
32.
Kuchangia ukamilishaji wa zahanati Kijiji cha Nsimbo

   10,000,000

LGDG-CDG (MMAM)
Utungiliaji,uwekaji wa fremu za milango na madirisha umekamilika.kazi ya upigaji wa ripu inaendelea
33.
Ukamilishaji wa nyumba ya mganga zahanati ya Usindi

     9,000,000

LGDG-CDG (MMAM)
Ukamilishaji wa nyumba ya mganga uko hatua ya upakaji wa rangi
34.
Kuchangia ujenzi wa zahanati Imalampaka
     9,000,000
LGDG-CDG (MMAM)
Ujenzi uko hatua ya kupiga blandering na upigaji wa ripu
35.
Ukamilishaji wa zahanati ya kasungu
     8,000,000
LGDG-CDG (MMAM)
Upigaji wa ripu ndani na nje umefanyika
36.
Ujenzi wa nyumba ya mtumishi na choo zahanati ya Ibambo
     9,000,000
LGDG-CDG (MMAM)
Ujenzi wa msingi umekamilika.Ujenzi wa kuta unaendelea
37.
Kuchangia ujenzi wa zahanati kijiji cha Ichemba
   10,000,000
LGDG-CDG (MMAM)
Ujenzi uko hatua ya boma
38.
Ukamilishaji wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Seleli
   10,000,000
LGDG-CDG (MMAM)
Ujenzi uko hatua ya  blandering na upigaji wa ripu.
39.
Kuchangia ujenzi wa zahanati kijiji cha Usonga

10,000,000

LGDG-CDG (MMAM)
Ufyatuaji wa tofari 2,600 umefanyika na kazi ya ujenzi wa kuta imeanza.
40.
Ujenzi na ununuzi wa Mashine za Viwanda vidogo vya usindikaji wa zao la alizeti katika Vijiji vya Kanindo, Usangi, Zugimulole na Wachawaseme

40,000,000.00

LGDG-CDG
Fedha zimehamishiwa katika akaunti za vikundi.Mchanga,mawe na uchimbaji na upangaji wa mawe kwenye msingi umefanyika na kazi inaendelea.     .Taratibu za manunuzi kwa kijiji cha Mkiligi zinaendelea
41.
Ujenzi wa visima vya maji josho la Limbula na Kashishi

20,000,000.00

LGDG-CDG
Ujenzi wa visima 2 vya futi 20 kijiji cha Limbula unaendelea.           .Usombaji wa mawe,mchanga na kokoto Kijiji cha Kashishi umefanyika na taratibu za manunuzi zinaendelea
42.
Utekelezaji wa shughuli za mfuko wa Jimbo la kaliua

            

60,114,000

Mfuko wa Jimbo
Jumla ya miradi 18 ya vijiji imechangiwa na iko hatua mbalimbali za utekelezaji
43.
Utekelezaji wa shughuli za mfuko wa Jimbo la Ulyankulu

            

32,795,000

Mfuko wa Jimbo
Jumla ya Miradi 17 ya maendeleo ya vijiji imechangiwa na iko hatua mbalimbali za utekelezaji
44.
Uchongaji wa barabara za Kaliua mjini-Ulindwanoni-Kamsekwa, Imalamihayo-Usimba, Kazaroho-usimba

129,262,600.00

Mfuko wa barabara
Uchongaji wa barabara umefanyika
45.
Kingwangoko-usonga-kaliua, uyowa-nsungwa, kashishi-seleli-kingwangoko

60,125,413.00

Mfuko wa barabara
Uchongaji wa barabara umefanyika
45.
Kashishi-nkutu, mwendakulima-nyasa, ichemba-kanoge-mwongozo

124,134,472.00

Mfuko wa barabara
Utekelezaji umefanyika
46.
Uchongaji wa barabara za Ulyankulu-Igunguli
    3,100,001.00
Mfuko wa barabara
Uchongaji wa barabara umefanyika
47.
Uchongaji wa barabara za Mwongozo-Umanda-Chesa

13,300,000.00

Mfuko wa barabara
Utekelezaji umefanyika
48.
Uchongaji wa barabara za Uyowa-Mwendakulima-Nsungwa

9,000,000.00

Mfuko wa barabara
Uinuaji wa tuta na umwagaji wa changarawe umefanyika
49.
Uchongaji wa barabara za Ulyankulu-Nsungwa

4,000,000.00

Mfuko wa barabara
Utekelezaji umefanyika
50.
Uchongaji wa barabara za Ulindwanoni-Ukobelo-Kamsekwa

4,000,000.00

Mfuko wa barabara
Usafishaji wa eneo na uchongaji wa barabara umefanyika
51.
Uchongaji wa barabara za Ulyankulu-Igunguli

11,900,000.00

Mfuko wa barabara
Ujenzi wa makalvati umefanyika
52.
Uchongaji wa barabara za Uyowa(Mwendakulima)-Nsungwa

16,000,000.00

Mfuko wa barabara
 Kazi zimefanyika
53.
Uchongaji wa barabara za Kigoma Jct-Usinge-Maboha

15,070,000.00

Mfuko wa barabara
 Kazi imefanyika
54.
Uchongaji wa barabara za Ulyankulu-Nsungwa

7,890,000.00

Mfuko wa barabara
 Kazi zimefanyika
55.
Uchongaji wa barabara za Ugunga-Limbula

14,000,000.00

Mfuko wa barabara
Kazi zimefanyika
56.
Uchongaji wa barabara za Ulyankulu-Igunguli

40,900,000

Mfuko wa barabara
Umwagaji wa changarawe umefanyika
57.
Uchongaji wa barabara za Kaliua Mjini

 

31,200,000.00

Mfuko wa barabara
Uchongaji wa barabara na umwagaji wa changarawe umefanyika
58.
Uchongaji wa barabara za Ulindwanoni-Ukobelo-Kamsekwa

  13,300,000.00

Mfuko wa barabara
Kazi imekamilika
59.
Uchongaji wa barabara za fukutwa-Tuombemungu

  20,520,000.00

Mfuko wa barabara
Kazi ya kuinua tuta na kumwaga changarawe imefanyika
60.
Ujenzi wa kalvati lenye ukubwa wa 600mm culverts 7lines Ulyankulu-Igunguli

19,600,000

Mfuko wa barabara
 Ujenzi wa kalvati lm21 umefanyika
61.
Ujenzi wa kalvati lenye ukubwa wa 600mm culverts 3lines Ufukutwa-Tuombemungu

8,400,000

Mfuko wa barabara
Ujenzi wa kalvati lm21 umefanyika

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II NA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III September 24, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA December 18, 2020
  • HOTUBA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA KUFUNGA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 August 01, 2019
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA February 13, 2020
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA TABORA WILAYANI KALIUA

    October 01, 2020
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA TABORA WILAYANI KALIUA

    October 01, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KALIUA DC

    September 03, 2020
  • WAZIRI JAFO AIMWAGIA SIFA HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA

    June 06, 2020
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua